Monday, May 20, 2013

MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA NA WATUHUMIWA 75 WAFIKISHWA MAHAKAMANI MCHANA HUU

MH PETER MSIGWA AKISHUSHWA KWENYE GARI LA POLISI

MH PETER MSIGWA AKIWA KWENYE ULINZI MKALI
Mbunge wa Iringa mjini mh Peter Msigwa pamoja na watuhumiwa wengine 75 wamefikishwa katika mahakama ya wilaya mkoani IRINGA na kusomewa mashtaka matatu yanayowakabili

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...