| Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongozi wa Chama Cha Walimu Zanzibar (ZATU), Ofisini kwake Migombani. |
| Rais wa Chama Cha Walimu Zanzibar (ZATU), Salim Kitwana Sururu (kushoto), akiwasilisha maoni ya chama hicho kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, Ofisini kwake Migombani. |
| Baadhi ya viongozi wa Chama Cha Walimu Zanzibar (ZATU), walimsikiliza Maalim Seif, walipokutana nae Ofisini kwake Migombani. (Picha na Salmin Said, OMKR). |

No comments:
Post a Comment