Thursday, February 21, 2013

SHILOLE ATUA SOUTH AFRICA NA KUSHUSHA BONGE LA SHOW

Shilole kabla ya kupanda jukwaani kufanya vitu vyake
kabla ya kwenda ukumbini kufanya mambo yake
akiwasiliana na jamaa kama mambo yanaenda sawa ukumbini
hapo sasa shughuli ilianza
akiwapagawisha mashabiki na miuno
ukinipa utataka tena,tena na teeenaa........................
mashabiki wakizidi kupagawa


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...