Tuesday, November 12, 2013

TAZAMA PICHA YA JOKA LILILOMMEZA MWANAMKE MMOJA HUKO DURBAN AFRICA KUSINI

Picha hapo juu imewekwa na mwandishi wa habari wa Africa kusini Linda Laina Nyatoro kwenye ukurasa wake wa face book akieleza jinsi alivyoshuhudia mwanamke aliyemezwa na chatu.

Kwa mujibu wa Linda joka hilo lilimmeza mwanamke huyo siku mbili zilizopita karibu na kaskazini ya mji wa Durban Africa kusini.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...