Saturday, October 5, 2013

ANGALIA PICHA ZA AJALI YA BASI LA MACHINGA NA LORI LEO ASUBUHI

DEREVA WA BASI LA MACHINA AKITOLEWA KWENYE BASI HILO BAADA YA KUFARIKI KUTOKANA NA AJALI HIYO

UPANDE WA DEREVA ULIVOHARIBIKA

MASHUHUDA ENEO LA AJALI

WASAFIRI NA MASHUHUDA WA AJALI HIYO KATIKA ENEO LA TUKIO

SEHEMU YA DEREVA YA BASI LA MCHINGA LILIVYOHARIBIKA (PICHA NA MAULID KAMBAYA)
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la abiria la machinga na lori eneo la Ngunja kimanzichana leo asubuhi.

Aliyefariki ni dereva wa basi hilo na walioshuhudia ajali hiyo wamesema chanzo ni mwendo kasi wa magari hayo jambo lililosababisha yagongane uso kwa uso
.
Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mtwara lina namba za usajili T607 BYT,limeharibika vibaya hasa sehemu ya dereva hali iliyosababisha kifo cha dereva huyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...