Sunday, October 6, 2013

KAZI ZA WANANCHI

Mh Joseph Mbilinyi akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa vyoo alivyoahidi kuvijenga

akiwa na ujumbe wake na viongozi wa shule

vyoo vilivyoanza kujenga
Kazi za wananchi : Mbunge akikagua ujenzi wa vyoo kwenye shule ya msingi ikuti kata ya Iyunga- Mbeya mjni...mbunge aliahidi kujenga vyoo hivi alipoombwa na walimu kwenye mahafali ya darasa la saba mwaka jana ambapo alikuwa mgeni rasmi...

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...