Friday, March 29, 2013

MBUNGE WA CHAMBANI-CUF MH SALUM HEMED KHAMIS AFARIKI DUNIA

Mbunge wa Chambani kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF,Mh Salum Hemed Khamis amefariki dunia katika hospitali ya taifa Muhimbili.

Alifikishwa hospitalini hapo baada ya kuzidiwa na kuanguka ghafla akiwa katika ofisi ndogo za bunge jijini Dar es Salaam
Marehemu Salum Hemed Khamis

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...