Tuesday, June 4, 2013

ABSALOM KIBANDA AREJEA NCHINI NA KULAKIWA NA MAMIA YA WANAHABARI

WANAHABARI WAKIWA NA MABANGO




AKILIA KWA BAADA YA KUREJEA TENA NYUMBANI
AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI WENZAKE(PICHA KWA HISANI YA GLOBAL PUBLISHERS)

BAADA ya kuwa Afrika Kusini  majuma kadhaa kwa ajili ya matibabu, Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya New Habari 2006 na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda, hatimaye  amerejea nyumbani leo mchana na  kulakiwa na mamia ya waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...