Thursday, August 29, 2013

ULINZI MKALI KESI YA SHEIKHE PONDA ISSA PONDA KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MOROGORO.


Katibu    wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Shekh Ponda Issa Pondakatikati aliyekaa ,akiwazungumza na wakiri wake Juma Nasoro kabla  ya kusomewa mashtaka yake katika Mahakama ya hakimu mkazi wa mkoa wa morogoro
...
 Askari wa Jeshi la Magerza kutoka Jijini Dar es Salaam wakimuongoza kuelekea Mahakama ya hakimu mkazi wa Morogoro Katibu    wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Shekh Ponda Issa Ponda kwajili kusikiliza kesiJijini Dar es Salaam wakimuongoza kuelekea Mahakama ya hakimu mkazi wa Morogoro Katibu    wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Shekh Ponda Issa Ponda kwajili kusikiliza kesi yake

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...