Sunday, March 2, 2014

MALORI YAFUNGA BARABARA BAADA YA MMOJA WA DEREVA WA MALORI HAYO KUVAMIWA NA KUJERUHIWA NA WATU WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI


BAADHI ya Magari yaliyokwama kupita (yaliyofunga barabara kuu ya Dodoma-Singida hadi Nzega), baada ya majambazi kuteka malori mawili katika kijiji cha  Kisaki, mkoani  Singida.

Watu zaidi ya ishirini wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliovamia  na kuyateka  malori mawili makubwa ya mizigo katika kijiji cha Kisaki nje kidogo ya Mji wa Singida, barabara kuu ya Dodoma-Singida hadi Nzega na kusababisha mabasi na malori zaidi ya 320 kushindwa kupita na kusababisha  kufunga njia kwa muda wa saa kaadhaa .baada ya kumteka dereva wa lori na kujeruhi na pamoja na abiria kuwanyanganya vitu katika eneola kisaki nje kidogo mwa  mji wa singida

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...