Wednesday, March 13, 2013

JUSTINE BIEBER AKATISHA MAONYESHO YAKE UK KUTOKANA NA KULAZWA HOSPITALI


BIEBER AKIFANYA VITU VYAKE

Kufuatia kulazwa kwa mwanamuziki mahiri Justin Bieber, imebidi ahairishe maonyesho yake yote alokuwa ameyandaa,kutokana na hili imemlazimu kufuta show ya Portugal na msemaji wake amethibitishwa kuhusu kufutwa kwa show hizo,na alipangiwa kufanya show March 12,2013.
Alhamisi iliyopita Bieber  msanii mdogo mwenye miaka 19 alipoteza fahamu kwa takriban dakika ishirini wakati akiwa jukwaani akifanya vitu vyake huko London, hali iliyolazimika awekewe Oxygen imsaidie kupumua.Licha ya kulazwa hospitali lakini Bieber bado anatengeneza vichwa vya habari huko U.K kwani ana mashabiki wengi na walikuwa wanamsubiri kwa hamu sana.









No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...