Wednesday, July 24, 2013

DR SHEIN AFUTURU NA WATEJA WA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR PBZ

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziAlhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akifuatana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar Abdullrahman Mwinyijumbe,(kulia) na MKurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Juma Amour,alipowasili katika viwanja vya Salama Bwawani hoteli alipoalikwa Futari na Uongozi wa Benki jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
>

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Abdalla Mwinyi Khamis,(kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar Abdullrahman Mwinyijumbe,na MKurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Juma Amour,(kushoto)wakiwa katika Futari iliyotayarishwa na Benki ya Watu wa Zanzibar katika Ukumbi wa Bwawani Hoteli Mjini Unguja jana,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar Abdullrahman Mwinyijumbe,wakichukua chakula cha Futari iliyotayarishwa na Benki ya Watu wa Zanzibar katika Ukumbi wa Bwawani Hoteli Mjini Unguja  

 Wateja wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) wakiwa katika futari iliyoandaliwa na Benki hiyo jana katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hoteli Mjini Unguja jana,ambapo Benki hiyo imetimiza miaka 47 tokea kuanzishwa.
Wateja wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) na Wananchi mbali mbali wa walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Benki hiyo jana katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hoteli Mjini Unguja jana,ambapoBenki hiyo inasherehekea kutimiza miaka 47 tokea kuanzishwa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...