Saturday, July 27, 2013

MWANARIADHA WA KENYA IRENE CHEBET CHEPTAI AANGUKA NA KUZIMIA MARA BAADA YA KUMALIZA MBIO ZA OLYMPIC LONDON MITA 3000

Mwanariadha wa mbio ndefu wa Kenya Irene Chebet Chepai alikimbizwa hospitalini baada ya kuzimia mara tu alipomaliza mbio za mita 3000.Irene alimaliza mbio hizo akiwa katika nafasi ya 11 na alitumia muda wa 8:56.20 na alianguka na kuzimia mara tu alipovuka mstari wa mwisho
DAKTARI WA KWANZA KUMFIKIA IRENE CHEPTAI MARA BAADA YA KUANGUKA

Collapsed: Irine Chebet Cheptai was rushed to hospital after collapsing following the 3,000m
MADAKTARI WAKIMPA HUDUMA YA KWANZA MARA BAADA YA KUANGUKA


Daktari aliyekuwa karibu yake alimkimbilia na kumuwekea oxygen ili imsaidie kupumua,baadae alichukuliwa kwenye machela akiwa hajitambui kabisa lakini taarifa zilizopatikana alivyofikishwa hospitali alizinduka na hali yake ikawa inarudi taratibu.
treatment: Chebet Cheptai left the track unconscious but, according to reports, later regained consciousness in hospital
CHEPTAI AKIWEKEWA HEWA YA OXYGEN MARA BAADA YA KUZIMIA
Kwa kawaida Irene huwa anakimbia mita 5000 na ameshashiriki mashindano ya Diamond ya msimu huu mara mbili na katika mashindano ya Shanghai aliweka rekodi ya muda wa 14:50.99



The Kenyan finished 11th in the race
IRENE CHEPTAI AKICHUANA VIKALI



No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...