Thursday, August 1, 2013

SIMALENGA NA NEEMA WAIAGA RASMI KAMBI YA MAKAPELA

MR &MRS SIMON SIMALENGA


SIMON SIMALENGA NA MKEWE BI NEEMA



Kambi ya Wasinii wa Filamu na Maigizo pamoja na Kambi ya Waanahabari Makapela Tanzania imepata pigo kubwa baada ya Mwanachama wake Nguli, Simon Simalenga kuamua kuiaga kambi hiyo na kuingia rasmi katika Kambi Tawala ya Wanandoa baada ya kufunga Ndoa na Bi. Neema Inana. Wawili hao wameamua kuiga kambi hiyo ya Upinzani katika mahusiano leo katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Mwokozi Sinza jijini Dar es Salaam na baade katika tafrija kubwa unayofanyika usiku  wa Julai 27, 2013 katika ukumbi qa Grande Hall uliopo ndani ya Hoteli ya Picolo Beach Mbezi(PICHA NA FATHER KIDEVU)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...