Saturday, September 14, 2013

HIVI NDIVYO FATHER KIDEVU MROKI MROKI ALIVYOANDIKA KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK

Moja ya vitu muhimu sana nilivyo vifanya leo katika sehemu ya likizo yangu ni kumtembelea Waziri Mkuu, Mizengo Pinda nyumbani kwake Dodoma na kisha kwenda hadi shambani kwake kijiji cha Zuzu ambako alinifahamisha vitu kadhaa juu ya kilimo hasa Ufugaji nyuki na kilimo cha migomba. Hakika nimejifunza mengi ambayo nitayatumia vyema Kijijini kwangu Kinyenze pale Mvomero Morogoro. PM amesema wazi kuwa kujitoa ni jambo muhimu sana hasa kwa sisi vijana hasa kama tunania ya kilimo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...