Wednesday, September 4, 2013

HOMA YA PAMBANO LA MAYWEATHER NA CANELO YAZIDI KUPANDA

Mpambano wa kufa mtu unasubiriwa kwa hamu kati ya bondia asiyepigika Floyd Mayweather na Canelo Alvarez.

Mamilioni ya mashabiki wa mchezo huu na washabiki wa mabondia hawa wamekua na shauku kubwa siku ya pambano hilo lifike huku kukiwa na tambo za hapa na pale kutoka kwa mabondia hawa.

Mpambano wao unatarajiwa kufanyika wiki ijayo September 14 pale MGM GRAND,sehemu ambayo mapambano mengi makubwa ya ndondi huwa yanafanyika.

Tusubiri ni nani ataibuka kidedea siku hiyo,ni MAYWEATHER au CANELO 



Floyd Mayweather kushoto na   Canelo Alvarez wakitunishiana misuli

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...