Wednesday, September 4, 2013

MWANAFUZI ALIESHINDA NA KUONGOZA TOKA DARASA LA KWANZA HADI LA SABA


Mwanafunzi Zainab Aboubakary Mlawa wa shule ya msingi St Magreth iliyopo kimara jijini Dar essalaam akiwa na vyeti vyake  alivyotunukiwa katika mahafali ya darasa la saba  baada ya kufauru katika masomo yote toka alipoanza darasa la kwanza katika shule hiyo mpaka alipofika darasa  la saba na kutunukiwa vyeti vya  nafasi za kwanza kwa kila darasa anapoingia anafanya vizuri na kuongoza masomo yote toka alipoanza darasa la kwanza mpaka anamaliza la saba.
 

Baba mzazi wa mwanafunzi Zainab,  Aboubakary Mlawa  akilimsha keki mtoto wake mpendwa  mara baada ya kunukiwa vyeti katika mahafali ya kumalizika darasa la saba mtoto zainab  ambayo alipata zawadi zote za kitaaluma na nidhamu kwa wanafunzi wote wa darasa la saba toka alipoanza shule miaka saba iliyopita

1 comment:

  1. Mungu azidi kukuonekania katika kila ufanyalo Zainabu

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...