Tuesday, September 3, 2013

WAFANYAKAZI WA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI STRABAG,WAFUNGIWA NJE NA UONGOZI LICHA YA MKUU WA MKOA WA DSM KUWATAKA KURUDI KAZINI LEO

WAFANYAKAZI HAO WAKIWA NJE YA OFISI HIZO WASIJUE LA KUFANYA BAADA YA UONGOZI KUWAFUNGIA




MIJADALA YA HAPA NA PALE IKIENDELEA YA NINI KIFANYIKE



NYUSO ZILIZOPOTEZA MATUMAINI (picha na ujiji raha)
Mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam ya Strabag,umeingia katika sura nyingine leo baada ya  uongozi wa kampuni hiyo kuwafungia wafanyakazi nje na kuwazuia kuendelea na kazi licha ya tamko la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick kuwataka kuendelea na kazi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...