Saturday, October 5, 2013

EATV KUWASHUSHA KWA MARA NYINGINE TENA PSQUARE NCHINI TANZANIA



Wakali kutoka Nigeria, Peter Okoye na Paul Okoye “P-Square” wanatarajia kutua Bongo (Tanzania) mwishoni mwa mwezi November….kwa mujibu wa chanzo chetu kimesema jamaa hao watakuja kupiga show iliyopangwa kufanyika tare 23/11 jijini DSM kwa hisani ya East Africa Television (EATV).

Wakali hao wakiwa ni wasanii pekee kutoka Afrika wenye kusumbua ulimwengu kwasasa kwa kuwa na vibao vikali kama Alingo, Personally na vingine kibao watatua bongo ikiwa ni mara yao ya pili sasa kuja tangu waje kwenye concert iliyopewa jina la “DO ME CONCERT”…enzi izo wanatamba na kibao chao cha Do Me.


Ujio wao huu ni wa mara ya pili kwani mara ya kwanza wasanii hawa walitua nchini kwa mara ya pili chini ya EATV na Radio

1 comment:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...