Saturday, February 22, 2014

LORI LILIVYOUA WANNE BAADA YA KUANGUKA NA KUWAKA MOTO KATIKA MILIMA YA SEKENKE



                                        Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua
                                Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto
                                       Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii

                               Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeunguaa
                                                  Hii ni njia ya mlima sekenke
                                Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwam kwenye Lori hilo
Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana
Lori la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo.Chanzo cha ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa linashuka mlima huo.
 
Shuhda wa ajali hiyo bwana Julius Chacha alipoongea na mtandao  wa Dj sek blog amesema kwamba Lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.
 
Akiendelea kuongea shuhuda huyo alisema walishindwa kutoa msaada wowote kwani moto uliposhika ulikuwa mkubwa na hawakuwa na vifaa vya kuokolea.
 
Watu wanne wamekuufa papo hapo kutokana na ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...